Jumanne, 30 Desemba 2014
Katika kudhihirisha kweli kuwa msanii wa filamu nchini anayejulikana kwa jina la Kazinja kuwa amejipanga kuinua vipaji vya wasanii waliopo chini kisanaa mnamo tarehe 01/01/2015 ameandaa tamasha la kukata na shoka litakalo kutanisha wasanii mbalimbaliwa filamu na muziki lengo na madhumuni ikiwa ni kufanya usahili wa wasanii wapya wa kuigiza ambao anatarajia kufanya nao kazi mwakani katika kazi yake mpya ya PSYCHOLOGY chini ya kampuni ya Ebby'k' ni sheeeeeeeeeedah! Conglatulation boyyyyyyy
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni